Posts

Showing posts from June, 2024

TAMKO LA KULAANI MAUAJI......CHAMA CHA WAZEE WANAUME TANZANIA (CCWWT)CHALAANI MAUAJI YA KIKATILI YA MTOTO MKOANI KAGERA

Image
  TAMKO LA (CCWWT) KULAANI   MAUAJI   YA KIKATILI   YA   MTOTO   ASIMWE .   Chama cha wazee   wanaume Tanzaniaa   (CCWWT)kimeungana   na   Rais Mh Dr Samia Suluhu Hassan na wadau   wengine   kulaani kitendo cha kuuawa kikatili   kwa Mtoto   Asimwe   Novati   mwenye ulemavu wa Ngozi (Albino) akiwa na umri wa miaka miwili na nusu yaliyotokea kijiji cha Gulamula Wilaya ya Muleba Mkoa wa Kagera Akitoa tamko hilo   kwa niaba ya chama   k iongozi mkuu   wa chama hicho Bw Tadey Mchena amesema wanachama   wa chama cha wazee   wanaume kimesikitishwa   sana na ukatili   huo aliofanyiwa mtoto huyo na kuendelea   kusisitiza umuhimu wa   hatua kalia   za   kisheria   kuchukuliwa kwa   waliohusika. Aidha   kwa   mujibu wa Bw Mchena chama cha   wazee   wanaume Tanzania   kiko   tayari kutoa ushirikiano wa hali na mali ...