Posts

Showing posts from December, 2023

UTUNZAJI WA MAZINGIRA WAANZA KULETA TIJA WILAYANI LONGIGO KUPITIA BIASHARA YA HEWA UKAA

Image
  Wananchi   wa    vijiji   16   vya wilaya   ya Longido mkoani   Arusha wamesaini makubaliano ya kuanza kunufaika na hewa ukaa kati yao na wawekezaji   wa kampuni Soil for the Future Tanzania  yanayoashiria   wananchi   hao kuanza   kunufaika   na   hewa ukaa   baada   ya   kuhifadhi mazingira   ambayo   yameanza   kuwavutia   wawekezaji hao wa   rasilimali   hiyo . Wakizungumzia hatua hiyo viongozi na watendaji  wa vijiji  hivyo   wamesema tayari  wameshaingia  makubaliano  ya  awali ya miaka mitano  na wawekezaji  hao mbapo  kila  kijiji  kitapata  asilimia  51  ya  mapato  yatokanayo na hewa  ukaa  kila  mwaka.  Hata hivyo   wananchi   hao   akiwemo Bw Simion Olotosoi    amewataka   wawekezaji hao kuheshimu makubaliano kwani uz...

ARUSHA TRADE FAIR KUSHIRIKIANA NA TIGO KUTOA HUDUMA KWA GHARAMA NAFUU WAKATI WA SIKUKUU ZA MWISHO WA MWAKA 2023

Image
  KAMPUNI ya Bulb Africa LTD imeandaa maonyesho maalum kwa ajili   ya   wajasiriamali na wafanyabiashara kwa ujumla     yanayojulikana kwa jina la   Arusha Trade Fair yanayofanyika katika   viwanja vya Azimio Jijini   Arusha Mratibu   wa   maonyesho   hayo   Bw   Agustino   Namfua   amesema   Jumla ya wafanyabiashara na wajasiriamili 150 wanatarajia kushiriki   na yataanza tarehe 12-17   mwezi Disemba   2023   Augustine Namfua ametaja baadhi   ya   fursa   za   Maonesho hayo kuwa ni Pamoja   na kuwawezesha   wananchi wa Arusha kujipatia mahitaji, huduma na bidhaa mbalimbali kwa ajili ya sikukuu za krismas na mwaka mpya kwa Bei rafiki. Katika Kongamano hilo pia mada mbalimbali zitawasilishwa na wataalamu ikiwemo ya namna ya kunufaika na   Mikopo, uwekezaji na huduma za kifedha.   Wadhamini   wakuu   wa   Kongamano   hilo ...

BENK YA CRDB YAENDELEA KUPASUA ANGA KIMATAIFA, SASA YABISHA HODI MAREKANI.

Image
  Benk ya CRDB imeendelea kuwa kinara wa kujenga mtandao mkubwa wa huduma za kifedha   kitaifa na   kimataifa   baada   ya   kuingia makubaliano  ya ushirikiano   katika utoaji   wa huduma na Benki ya kimataifa ya American Express   ya nchini   Marekani. Katika   makubaliano hayo wateja wa Benk ya American Expres   na   wale   wa Benk ya CRDB   watakuwa na   kadi   ambayo itaweza   kutumika   kwenye mashine za ATM za benk zote mbili   popote Duniani . Akizungumza wakati   wa   hafla ya uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Benk ya CRDB Bw Abdul Majid Nsekela   amesema hatua hiyo   itapunguza gharama na pia   mzigo wa kutembea na fedha fursa ambayo   itawanufaisha   hasa wanapokuja kutalii nchini. Kwa upande wake mwakilishi wa Benk hiyo ambaye pia ni  Makamu wa Rais wa American Express anayewakilisha nchi za Ulaya, Mashariki ya Kati ...

MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA TRA MKOA WA ARUSHA YATOA TUZO KWA WALIPAKODI, YAOMBA USHIRIKIANO ZAIDI

Image
  Watendaji   wa   Mamlaka ya mapato nchini TRA mkoa   wa   Arusha wametoa Tuzo kwa   baadhi   ya   walipakodi katika hafla iliyofanyika  M ount Meru hoteli huku   wakielezea mafanikio na baadhi ya changamoto zinazoendelea   kujitokeza katika ukusanyaji   wa Kodi ikiwemo biashara ya magendo  Wakiwa katika hafla hiyo mkurugenzi  wa rasilimaliwatu  na utawala wa wa malaka  hiyo Bw Moshi  Kabengwe alisema pamoja na kazi kubwa ya kukusanya kodi inayofanywa na watendaji wa  mamlaka hiyo bado kuna tatizo kubwa la biashara ya magendo hasa katika maeneo ya mipakani . Kutokana na hali   hiyo Kabengwe   amewaomba wananchi   wa mikoa ya pembezoni ukiwemo  wa Arusha  kuunga mkono jitihada za kudhibiti biashara za magendo  zinazofanywa na baadhi ya watu  maeneo ya mipakani  na  watu  wanaingiza na  kutorosha  bidhaa  bila  kulipa kodi . ...

VIONGOZI CHAMA CHA WAZEE WANAUME TANZANIA (CCWWT) WAPAZA SAUTI JUU YA HATUA ANAZOCHUKUA RAIS DR SAMIA

Image
       V iongozi   wa   C hama   cha wazee   wanaume Tanzania   kinachoitwa   (CCWWT) chenye makao yake makuu Jijini  Arusha   wametoa pongeza   kwa  Rais Dr Samia Suluhu Hassan   kwa   hatua anazoendelea  kuchukua kwa watendaji  wa serikali  wanaokiuka sheria taratibu na maadili  ya  Uongozi Miongoni mwa hatua zilizozungumziwa  na  viongozi wa  chama hichi  ni pamoja  na ya kutengua uteuzi  wa  Naibu waziri wa katiba  na  sheria Mh Paulina Gekulu kwa kutuhumiwa kushiriki katika vitendo vinavyodaiwa  kukiuka sheria  suala ambalo  wazee  wanasema  yeye kama  kiongozi anayesimamia sheria  hangepashwa  kulifanya  Viongozi hao akiwemo mkuu wa CHAMA hicho Bw Tadei Mchena amesema Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan ameonyesha njia kwa vitendo ya uongozi unaosimamia utawala Bora . "Kwa niaba ya chama Ch...