ARUSHA TRADE FAIR KUSHIRIKIANA NA TIGO KUTOA HUDUMA KWA GHARAMA NAFUU WAKATI WA SIKUKUU ZA MWISHO WA MWAKA 2023
KAMPUNI ya Bulb Africa LTD imeandaa maonyesho maalum kwa ajili ya wajasiriamali na wafanyabiashara kwa ujumla yanayojulikana kwa jina la Arusha Trade Fair yanayofanyika katika viwanja vya Azimio Jijini Arusha
Mratibu wa
maonyesho hayo Bw
Agustino Namfua amesema
Jumla ya wafanyabiashara na wajasiriamili 150 wanatarajia kushiriki na yataanza tarehe 12-17 mwezi Disemba
2023
Katika
Kongamano hilo pia mada mbalimbali zitawasilishwa na wataalamu ikiwemo ya namna
ya kunufaika na Mikopo, uwekezaji na huduma
za kifedha.
Wadhamini wakuu wa Kongamano hilo ni kampuni ya simu za mkononi ya Tigo ambayo Meneja wake wa kanda ya kasikazini Bw Daniel Mainoya amesema kuwa wao kama kampuni ya mawasiliano wanafuraha kuwawezesha wafanyabiashara na wajasiriamali kutumia huduma Bora za tigopesa kuuza na kununua bidhaa kwa urahisi.
Amesema
pamoja na Huduma za keep fedha pia katika Banda lao watakuwa wakiuza simu na
vifaa vingine vya mawasiliano kwa Bei nzuri inayoendana na kampeni ya zawadi
dabodabo.
KWA
HABARI ZAIDI ,USIKOSE TEMBELEA AMTV UZIPATE
KWA UNDANI NA
KWA KINA
Comments
Post a Comment