WATAFITI NA WAHADHIRI WA VYUO NCHI ZA SADC WAVUNJA UKIMYA,UTUPAJI OVYO WA TAKA

 

WATAFITI na wahadhiri  wa vyuo vikuu kutoka nchi  4 (nne) kati ya (kumi na sita )16 za SADC wamekutana jijini  Arusha kujadili namna ya kukabiliana na athari  za utupaji ovyo wa taka katika mimea na viumbehai wakiwemo wanyamapori kuptia mradi unaotekelezwa  na SADC kwa  kushirikiana na  wadau  mbalimbali ikiwemo  Jumuiya ya  Ulaya .

Mwakilishi  wa  Sekretarieti  ya  SADC  anayesimamia  Rasilimali Dr. Geoge  Wambura amesema mradi  huo unatarajiwa  kuwa na tija  kubwa kwani  miongoni mwa  wadau wanaoutekeleza ni  wataalam waliobobea  kwenye  sekta ya utafiti wakiwemo  wahadhiri wa  vyuo  vikuu


Miongoni  mwa  vyuo  vinavyoshiriki katika utekelezaji  wa  mradi  huo ni pamoja na chuo  cha utafiti na  usimamizi wa wanyamapri  Afrika  cha  Mweka , ambapo   mkuu  wa chuo  hicho Profesa  Jafari  Kideghesho  amesema  jukumu  kubwa kwao ni kusimamia  utafiti na kuandaa mitaala ya kufundishia itakayotumika  kwa  nchi  zote za  SADC .

Wataalam  na wahadhiri  kutoka  nchi  mbalimbali  za  SADC    wamezungumzia  mtazamo  wao kuhusu  mradi  huo 

  
Bi  Monica  F.K. Gondwe ..Mwakilishi  kutoka  Malawi


Dr.  Arturo Afonso .mwakilishi  kutoka Msumbiji 

                                          Mr Brian Halubanza .mwakilishi  kutoka  Zambia

                                      Prof  Alexs  Kisingo  mwakilishi  kutoka   Tanzania 


                           Dr Kwaslema  Male  .Mratibu wa Mradi   kutoka  Tanzania  
MWISHO   

ILI  UPATE  TAARIFA  KWA UNDANI  ZAIDI WALICHOSEMA  WATAALAM HAWA , TEMBELEA  .....AMTV 

 UPATE HABARI  KWA  KINA  NA KWA  UNDANI  ZAIDI 




Comments

Popular posts from this blog

TAMKO LA KULAANI MAUAJI......CHAMA CHA WAZEE WANAUME TANZANIA (CCWWT)CHALAANI MAUAJI YA KIKATILI YA MTOTO MKOANI KAGERA

WAZIR PEMBE ATAKA UZINGATIAJI AFYA YA AKILI

VIONGOZI CHAMA CHA WAZEE WANAUME TANZANIA (CCWWT) WAPAZA SAUTI JUU YA HATUA ANAZOCHUKUA RAIS DR SAMIA